Alhamisi 18 Desemba 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Utafiti ndani ya Hawza una Jukumu la Kuongoza/ Leo tuko Katikati ya Mapambano Makubwa ya Kiakili na Kimaendeleo

    Ayatollah A‘rafi Katika Kikao na Wakurugenzi na Manaibu wa Utafiti wa Hawza ya Qom Iran:

    HawzaUtafiti ndani ya Hawza una Jukumu la Kuongoza/ Leo tuko Katikati ya Mapambano Makubwa ya Kiakili na Kimaendeleo

    Hawza/ Ayatollah A‘rafi, akielezea nafasi ya kipekee ya Hawza, alisema: “Leo katika ulimwengu mzima, nguzo kuu ya uzalishaji wa fikra kwa ajili ya Mapinduzi ya Kiislamu na katika kujibu mahitaji…

    2025-12-16 23:02
  • Ayatullah Hosseini Bushehri: Hawza Inaenda Sambamba na Mabadiliko

    HawzaAyatullah Hosseini Bushehri: Hawza Inaenda Sambamba na Mabadiliko

    Hawza/ Rais wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza alisema: Matokeo ya shughuli za vituo vyetu vya kielimu yanapaswa siku zote kuwepo juu ya meza za viongozi. Haitoshi kujitosheleza kwa kuwasilisha vitabu…

    2025-12-16 22:02
  • Sayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu Ndio Msingi na Roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi ya Iran/ Nashangaa Baadhi Wanasema Hakuna Sayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu

    Ayatollah A‘arafi Katika Hotuba Yake Kwenye Chuo Kikuu cha Qum Iran:

    HawzaSayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu Ndio Msingi na Roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi ya Iran/ Nashangaa Baadhi Wanasema Hakuna Sayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza kwamba sayansi ya kibinadamu ya Kiislamu ndio msingi na roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi, alisema: Kila kinachopuuzwa kuhusu…

    2025-12-15 23:30
  • Ayatollah Udhma Golpaygani (ra), Ni Shakhsia Kubwa katika Historia ya Hawza/ Hafla ya Kumbukizi Yake ni Siku ya Jumanne

    HawzaAyatollah Udhma Golpaygani (ra), Ni Shakhsia Kubwa katika Historia ya Hawza/ Hafla ya Kumbukizi Yake ni Siku ya Jumanne

    Hawza/ Hujjat al-Islam wa al-Muslimin Barqi ameashiria kuwa hafla ya kumbukumbu ya Ayatollah al-‘udhma Golpaygani (rahimahullah) itafanyika siku ya Jumanne, 16 December 2025, baada ya Swala ya…

    2025-12-14 20:30
  • Nahjul-Balagha ni Nakala ya Utawala wa Kiislamu / Tumfasiri Mwanamke kwa Kutumia Kigezo cha Bibi Fa'tima

    Ayatullah A‘rafi katika Khutuba ya Swala ya Ijumaa Qum Iran:

    HawzaNahjul-Balagha ni Nakala ya Utawala wa Kiislamu / Tumfasiri Mwanamke kwa Kutumia Kigezo cha Bibi Fa'tima

    Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa Qum amesema: Katika muundo wa Kiislamu, maslahi jumuishi ya mwanamke, mwanaume, watoto na jamii huzingatiwa katika kuweka kanuni. Tukikusanya mizani ya maslahi…

    2025-12-12 21:00
  • Lazima Kuzinduliwe Harakati ya Tafsiri ya Qur’ani

    Ayatullah Khatami Katika Kongamano la Kitaifa la Mbebabendera ya Tafsiri ya Qur'an:

    HawzaLazima Kuzinduliwe Harakati ya Tafsiri ya Qur’ani

    Hawza/ Mjumbe wa Baraza la Wataalamu wa Uongozi (Shura-ye Negahban), katika Mkutano wa Kitaifa wa "Mbebabendera ya Tafsiri", huku akisisitiza ulazima wa kuzinduliwa harakati ya tafsiri ya Qur’ani,…

    2025-12-12 08:00
  • Wafasiri wa Qur'an Wajiepushe Kukariri, Badala Yake Wajikite Kwenye Ubunifu

    Ayatullah Al-Udhma Subhani:

    HawzaWafasiri wa Qur'an Wajiepushe Kukariri, Badala Yake Wajikite Kwenye Ubunifu

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani, katika Mkutano wa Kitaifa wa "Kuinua bendera ya Tafsiri ya Qur’ani Tukufu", aliwataka wafasiri wa Qur'an kuepuka kurudia yaliyokwisha kusemwa na kuelekea kwenye…

    2025-12-12 07:00
  • Ayatullah Yazdi (r.a.) Alikuwa Mtu wa Zama Muhimu Katika Historia/ Mfano wa Hekima Katika Utendaji

    Ayatullah A‘rafi katika hafla ya kufunga Mkutano wa Kitaifa wa Vinara wa Harakati ya Kiislamu:

    HawzaAyatullah Yazdi (r.a.) Alikuwa Mtu wa Zama Muhimu Katika Historia/ Mfano wa Hekima Katika Utendaji

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza katika hafla ya kufunga Mkutano wa Kitaifa wa “Vinara wa Harakati ya Kiislamu; Ayatullah Yazdi (r.a.)” alisisitiza: Mujaahid huyu wa kimapinduzi alikuwa kielelezo cha…

    2025-12-12 06:00
  • Ushiriki Hai wa Hawza Katika Muundo wa Fikra za Kijamii na Mifumo ya Nchi ni Hitaji Lisilopingika

    Ayatullah A‘arafi Katika Kongamano la Mwaka la Wawakilishi wa Wanafunzi na wanazuoni wa Hawza:

    HawzaUshiriki Hai wa Hawza Katika Muundo wa Fikra za Kijamii na Mifumo ya Nchi ni Hitaji Lisilopingika

    Ayatullah A‘arafi alisisitiza: ushiriki hai wa Hawza katika muundo wa fikra za jamii na katika mifumo ya nchi ni hitaji lisilopingika. Japokuwa Hawza imekuwa na uwepo katika nyanja nyingi na…

    2025-12-10 15:57
  • Misingi 12 ya Shughuli za Kimkakati za Qur'ani Ndani ya Hawza:

    Ayatollah Al-Irāfi katika Kikao na Walimu wa Tafsiri ya Qur'ani Amesisitiza:

    HawzaMisingi 12 ya Shughuli za Kimkakati za Qur'ani Ndani ya Hawza:

    Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran, katika mkutano na waalimu na wafasiri wa Qur’ani, alisisitiza kwamba: Qur’ani ni maandiko pekee ya mbinguni yaliyo sahihi na hitaji la pamoja la binadamu wote.…

    2025-12-09 20:45
  • Mafanikio ya Wanawake katika Elimu na Teknolojia Baada ya Mapinduzi ya Iran Hayalinganishwi na Kipindi Cho chote Kingine

    Ayatullah A‘rafi:

    HawzaMafanikio ya Wanawake katika Elimu na Teknolojia Baada ya Mapinduzi ya Iran Hayalinganishwi na Kipindi Cho chote Kingine

    Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran amesema: Leo, kwa baraka za Mapinduzi ya Kiislamu, katika uwanja wa mwanamke na familia, kumepatikana mafanikio makubwa nchini Iran katika nyanja mbalimbali…

    2025-12-05 20:30
  • Kaulimbiu ya Kudai Uhuru ya Magharibi ni Kisingizio cha Kuhadaa Maoni ya Walimwengu/ Uhuru wa Kweli Upo Kwenye Kumuabudu Mwenyezi Mungu

    Mjumbe wa Baraza la Uangalizi:

    HawzaKaulimbiu ya Kudai Uhuru ya Magharibi ni Kisingizio cha Kuhadaa Maoni ya Walimwengu/ Uhuru wa Kweli Upo Kwenye Kumuabudu Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Ayatullah Modarresi, huku kukosoa vikali mienendo ya kindumakuwili inayofanywa na nchi za Magharibi katika kujitetea kwa madai ya uhuru na haki za binadamu, alisisitiza: Magharibi inayojitambul…

    2025-12-04 11:33
  • Mitandao ya Kijamii ni Uwanja Mkuu wa Vita vya Kihabari/ Habari za Shirika la Habari la Hawza ni za Kuaminika na Zenye Msingi wa Unaohitajika

    Afisa Masuala ya Utamaduni na Mitandao wa Kampuni ya Tavanir:

    HawzaMitandao ya Kijamii ni Uwanja Mkuu wa Vita vya Kihabari/ Habari za Shirika la Habari la Hawza ni za Kuaminika na Zenye Msingi wa Unaohitajika

    Hawza/ Hujjatul-Islam Kakavand, akirejelea imani ya jamii kwenye vyombo vya habari vya Hawza, alisema: Kuchapishwa kwa habari katika Shirika Rasmi la Habari la Hawza huleta utulivu katika jamii…

    2025-12-03 17:14
  • Hawza inahitaji kulinda fiqhi ya jadi na kwa wakati huohuo kupanua fiqhi ya kisasa / Dunia inayokuja ni tata, hakuna nafasi ya kughafilika

    Ayatullah A‘arafi katika mkusanyiko wa wanafunzi na wanazuoni wa Kiirani wanaoishi Najaf:

    HawzaHawza inahitaji kulinda fiqhi ya jadi na kwa wakati huohuo kupanua fiqhi ya kisasa / Dunia inayokuja ni tata, hakuna nafasi ya kughafilika

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza za Elimu za Kiislamu, akiwahutubia wanafunzi vijana, alisema: Hawza inahitaji kulinda fiqhi ya jadi sambamba na kupanua mijadala ya fiqhi ya kisasa, kuilinganisha na…

    2025-11-29 23:11
  • Mkuu wa Hawza Iran, Azuru Katika Ataba Tukufu

    Kutokana na Mnasaba wa Kushiriki Katika Kongamano la Kimataifa la Mirzai Naa’ini (r.a):

    HawzaMkuu wa Hawza Iran, Azuru Katika Ataba Tukufu

    Hawza/ Mkuu wa Hawza za Kielimu Iran, kutokana na mnasaba wa kushiriki katika Kongamano la Kimataifa la Mirzai Naa’ini (r.a), alisafiri kwenda nchini Iraq.

    2025-11-27 00:33
  • Daraja na Hadhi ya Bibi Fatima Zahra (a.s) Katika Vyanzo vya Ahlus-Sunna

    Uchambuzi na Utafiti wa Fatwimiyya Uliofanywa na Ustadh Husseini Qazwini:

    HawzaDaraja na Hadhi ya Bibi Fatima Zahra (a.s) Katika Vyanzo vya Ahlus-Sunna

    Hawza/ Rais wa Taasisi ya Utafiti ya Hujjat Wali al-Asr (a.t.f.s) amesema: Miongoni mwa hadithi nyingi zilizopo katika vitabu visivyo vya Kishia kuhusu daraja ya Bibi Fatima Zahra (a.s), ni hadithi…

    2025-11-23 23:01
  • Hawza  Ambayo Mhimili wa Mambo Yake ni kwa Ajili ya Mwenyezi Mungu” Hubadilisha Hesabu za Ulimwengu

    Ayatollah A’rafi Katika Kongamano la Wanafunzi Wapya wa Hawza ya Qom Iran:

    HawzaHawza  Ambayo Mhimili wa Mambo Yake ni kwa Ajili ya Mwenyezi Mungu” Hubadilisha Hesabu za Ulimwengu

    Mkurugenzi wa Hawza Qum Iran, alibainisha kwamba: Kama vile Imam Khomeini (ra) katika enzi za giza za mabavu ya utawala wa twa'ghuti, katika mkusanyiko mdogo wa wanafunzi wa dini, aliendelea…

    2025-11-15 18:48
  • Kuvunjwa Heshima ya Wanazuoni wa dini ni Kunatoka na Ushawishi wa Nafasi yao / Hawza ni Mfasiri wa Mwenendo na Maisha ya Ahlul-Bayt (a.s.)

    Kaimu Mkurugenzi wa Hawza ya ya Qum Iran:

    HawzaKuvunjwa Heshima ya Wanazuoni wa dini ni Kunatoka na Ushawishi wa Nafasi yao / Hawza ni Mfasiri wa Mwenendo na Maisha ya Ahlul-Bayt (a.s.)

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Hamid Maliki amesisitiza kuwa: “Leo hii, wanazuoni wa dini  wamefikia hadhi ya kipekee isiyokuwa na mfano katika historia, jambo ambalo linamghadhabisha mno…

    2025-11-06 00:05
  • Janga la Sudan ni Mfano wa Wazi wa Miradi Mibaya ya Maadui wa Umma wa Kiislamu/ Jumuiya za kimataifa zichukue misimamo thabiti

    Ayatullah A‘rafi:

    HawzaJanga la Sudan ni Mfano wa Wazi wa Miradi Mibaya ya Maadui wa Umma wa Kiislamu/ Jumuiya za kimataifa zichukue misimamo thabiti

    Hawza/ Mkurugenzi wa hawza, huku akilaani jinai ya kikatili dhidi ya watu wanyonge wa Sudan, alisisitiza kwamba: Tunatarajia jumuiya za kimataifa, Shirika la Ushirikiano wa Kiislamu, na taasisi…

    2025-11-04 22:57
  • Kuhubiri dini (Tabligh) kumejengwa juu ya msingi wa elimu na hoja za kiakili

    Ayatollah A‘rafi katika kongamano la wanazuoni na wanafunzi wa Ardabil Nchini Iran:

    HawzaKuhubiri dini (Tabligh) kumejengwa juu ya msingi wa elimu na hoja za kiakili

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchibi Iran amesema: Wale ambao ndani ya Hawza wanapinga mtazamo wa kisiasa, wao wenyewe wanafikiri kisiasa. Asili ya mfumo wa fikra wa Hawza na uongozi wa kidini ni…

    2025-11-01 06:59
  • Uenezaji wa Dini (Tabligh) Katika Zama za Akili Bandia (AI); Je, Mimbari ya Jadi Bado ina Ufanisi?

    Katika Mahojiano na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Qom limejadiliwa:

    HawzaUenezaji wa Dini (Tabligh) Katika Zama za Akili Bandia (AI); Je, Mimbari ya Jadi Bado ina Ufanisi?

    Hawzah/ Hujjatul Islam wal-Muslimin Sharifi amesema: Leo kuna programu ambazo zinawezesha "mazungumzo na hadithi" au "mazungumzo na tafsiri". Mhubiri anaweza kutumia mifumo hii kupata rasilimali…

    2025-10-29 16:03
  • Marehemu Naini alikuwa na mchango wenye athari kubwa katika uwanja wa siasa na jamii

    Ayatullah A‘rafi katika kikao na wasomi wa Iraq:

    HawzaMarehemu Naini alikuwa na mchango wenye athari kubwa katika uwanja wa siasa na jamii

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alibainisha kuwa: “Ameonesha kwamba faqihi anaweza kufuatilia masuala ya kielimu na wakati huo huo awe na nafasi yenye athari katika uwanja wa kisiasa na kijamii.”

    2025-10-26 00:10
  • Ijitihaidishaji wlya ubunifu na juhudi za kielimu za Mirza Nāīnī ni kielelezo kwa wanafunzi na watafiti wa Hawza

    Ayatullah al-‘Udhma Subhānī:

    HawzaIjitihaidishaji wlya ubunifu na juhudi za kielimu za Mirza Nāīnī ni kielelezo kwa wanafunzi na watafiti wa Hawza

    Hawza/ Ayatullah Subhānī alisema: Marehemu Mirza Nāīnī, kwa kutumia mbinu bunifu za kielimu katika fiqhi, kama vile kugawa kadhia katika vigawanyo vya kihakika (ḥaqīqiyyah) na vya kihalisia (khārijiyy…

    2025-10-24 12:36
  • Ubunifu wa kielimu na fikra ya kisiasa ni sifa mbili mashuhuri za Allāmah Na’ini

    Kiongozi wa Mapinduzi Irani, katika kikao na waandaaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Mirza Na’ini (ra) alifafanua:

    HawzaUbunifu wa kielimu na fikra ya kisiasa ni sifa mbili mashuhuri za Allāmah Na’ini

    Hawza/ Hotuba ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, katika kikao na waandaaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Allāmah Mirza Na’ini (r.a), huko Qom Iran, katika eneo la kufanyia mkutano huo.

    2025-10-24 10:43
  • Mirza Na’ini ni alama ya akili ya jihadi katika fikra ya Kiislamu / Kufufua kazi za wakubwa ni muongozo kwa hawza na chanzo cha msukumo kwa kizazi kijacho

    Ayatullah A‘rafi katika Kongamano la Mirza Na’ini:

    HawzaMirza Na’ini ni alama ya akili ya jihadi katika fikra ya Kiislamu / Kufufua kazi za wakubwa ni muongozo kwa hawza na chanzo cha msukumo kwa kizazi kijacho

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alisisitiza kwamba; kufufua kazi za wakubwa ni mwongozo kwa hawza na chanzo cha ilhamu kwa vijana, akasema: Mirza Na’ini ni mfano wa akili ya kimujahidina na kiunganishi…

    2025-10-24 10:29
  • Misingi ya usimamizi na mikakati katika upangaji na usimamizi wa Hawza

    Ayatullah A‘rafiy amebainisha:

    HawzaMisingi ya usimamizi na mikakati katika upangaji na usimamizi wa Hawza

    Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafiy, akiweka bayana nafasi ya kihistoria na kitamaduni ya Hawza, amesisitiza juu ya nafasi ya maulamaa katika kufufua utajo wa Mwenyezi Mungu, kulea kizazi chenye…

    2025-10-23 13:34
  • Vipengele vitatu muhimu kwa ajili ya kazi ya kitamaduni / Tuwe tayari kufanya biashara na Mungu

    Ayatullah A‘rafi katika kikao na wakuu wa taasisi za Jihad-e-Daneshgahi nchini Iran:

    HawzaVipengele vitatu muhimu kwa ajili ya kazi ya kitamaduni / Tuwe tayari kufanya biashara na Mungu

    Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akifafanua kuhusu vipengele vitatu muhimu vya kazi ya kitamaduni, alisema: “Ikhlasi ni kipimo kinachoinua thamani ya kazi. Kufanya biashara…

    2025-10-22 07:30
  • Muungano wa Kidini Chini ya Uongozi wa Mtume wa Uislamu (s.a.w.w)

    Naibu wa Kimataifa wa Hawza nchini Irani, amesema:

    HawzaMuungano wa Kidini Chini ya Uongozi wa Mtume wa Uislamu (s.a.w.w)

    Hawza/ Naibu wa masuala ya kimataifa wa hawza amesema kuwa; maandalizi maalumu ya maadhimisho ya miaka 1500 tangu kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) ni fursa adhimu kwa ajili ya kuikuza fikra…

    2025-10-20 22:48
  • Tabliigh bila mchango wa utafiti haiwezi kufanikiwa/ Tusisahau umuhimu wa mtazamo wa ijtihaadi

    Ayatullah A‘rafi katika mkutano wa wasaidizi wa utafiti wa Hawza:

    HawzaTabliigh bila mchango wa utafiti haiwezi kufanikiwa/ Tusisahau umuhimu wa mtazamo wa ijtihaadi

    Hawza/ Mkurugenzi wa hawza, Ayatullah Alireza A‘rafi, amesisitiza kuwa kujitolea katika masuala ya utafiti ni sharti muhimu kwa mafanikio ya shughuli za kielimu na za tabligh (ulinganiaji), akibainish…

    2025-10-19 00:17
  • Misingi mitano ya maudhui katika ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi wa Iran kwa hawza / Wajibu wa kimataifa wa Hawza na maulama

    Ayatullah A‘rafi katika kikao cha walimu wa Taasisi ya Elimu ya Juu ya Fiqhi amezungumzia:

    HawzaMisingi mitano ya maudhui katika ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi wa Iran kwa hawza / Wajibu wa kimataifa wa Hawza na maulama

    Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafi amesisitiza kwamba “walengwa wa kwanza wa ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika kumbukumbu ya miaka mia moja ya kuasisiwa upya kwa Hawza ya kielimu ya Qum…

    2025-10-16 23:49
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom