-
Ayatollah A‘rafi Katika Kikao na Wakurugenzi na Manaibu wa Utafiti wa Hawza ya Qom Iran:
HawzaUtafiti ndani ya Hawza una Jukumu la Kuongoza/ Leo tuko Katikati ya Mapambano Makubwa ya Kiakili na Kimaendeleo.
Hawza/ Ayatollah A‘rafi, akielezea nafasi ya kipekee ya Hawza, alisema: “Leo katika ulimwengu mzima, nguzo kuu ya uzalishaji wa fikra kwa ajili ya Mapinduzi ya Kiislamu na katika kujibu mahitaji…
-
HawzaAyatullah Hosseini Bushehri: Hawza Inaenda Sambamba na Mabadiliko
Hawza/ Rais wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza alisema: Matokeo ya shughuli za vituo vyetu vya kielimu yanapaswa siku zote kuwepo juu ya meza za viongozi. Haitoshi kujitosheleza kwa kuwasilisha vitabu…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DuniaNjia Isiyo na Kifani ya Mwenyezi Mungu kwa Ajili ya Kumlea Mwanadamu
Hawza/ Mwenyezi Mungu katika aya ya 90 ya Surah An-Nahl, badala ya kutumia amri na katazo kali, anatumia lugha ya mafundisho: «يَعِظُكُمْ لَعَلَّكُمْ تَذَكَّــرُونَ». Huu ni mtindo wa kipekee…
-
Mwanzuoni Mashuhuri kwa Kishia Nchini Pakistan:
DuniaMwanazuoni wa Dini Lazima Daima Awe Kwenye Njia ya Kutafuta Elimu na Kuhifadhi Kazi za Kielimu
Hawza/ Ayatollah Hafiz Sayyid Riyaadh Hussain Najafi katika hotuba yake alisisitiza umuhimu wa kutafuta elimu mara kwa mara, kuhifadhi kazi za kisayansi za wataalimu, na kufundisha Qur'an na…
-
DuniaRadi Amali ya Kamati ya Uongozi wa Michezo ya Hawza Nchini Iran, Kuhusu “Mechi ya Kifahari ya Mashoga”
Hawza/ Kufuatia kuitwa kwa mchezo wa timu ya taifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri kwa jina la “Mechi ya Fahari” (Pride Match) na FIFA pamoja na Kamati ya Maandalizi…