Chuki dhidi ya Uislamu (14)
-
DuniaSerikali ya Ufaransa Yalegeza Kamba Kuhusiana na Marufuku ya Hijabu kwa Wasichana Walio Chini ya Umri wa Miaka 18
Hawza/ Katika siku za hivi karibuni, kumekuwepo na kampeni kubwa kwenye vyombo vya habari kuhusu pendekezo la kupiga marufuku hijabu hata kwa watoto, jambo ambalo limechochea maudhi na wasiwasi…
-
DuniaIsrael Yatumia vyombo vya Habari Kama Nyenzo Dhidi ya Waislamu Ufaransa
Hawza/ Hivi karibuni kura ya maoni ilichapishwa nchini Ufaransa ambayo iliandaliwa kwa kuungwa mkono na Mayahudi na hatimaye Israel dhidi ya Waislamu wa Ufaransa, lakini nyaraka zilizopatikana…
-
HawzaChuki Dhidi ya Uislamu Nchini Argentina; Changamoto Kubwa kwenye Jamii ya Kiislamu
Hawza/ Kuenea kwa chuki dhidi ya Uislamu nchini Argentina imegeuka kuwa tatizo pana linalowaathiri maelfu ya Waislamu wa nchi hiyo. Viongozi wa kidini na maafisa wa Kituo cha Kiislamu wanatahadharisha…
-
DuniaKufuatia shambulio la chuki dhidi ya Uislamu nchini Kanada, raia wasio wa wasio Waislamu watangaza kushikamana na majirani zao Waislamu
Hawzah/ Raia wasio Waislamu wa mji wa Stittsville, Kanada, walihudhuria mkutano wa Jumuiya ya Waislamu wa Kanada ili kutangaza mshikamano wao pamoja na Waislamu kufuatia tukio la shambulio lililotokan…
-
DuniaShirika la Mawasiliano ya Kiislamu Marekani lakishutumu Chuo Kikuu cha Wayne kwa tabia ya kibaguzi dhidi ya Waislamu
Hawza/ Shirika la Mawasiliano ya Kiislamu Marekani siku ya Jumatatu katika mkutano wake na waandishi wa habari lilitangaza kuwa Chuo Kikuu cha Jimbo la Wayne kinakandamiza na kunyamazisha sauti…
-
DuniaMoqtada Sadr: Kuchomwa Qur’ani Tukufu na mgombea ubunge wa Marekani ni uhalifu wa kimataifa usiosameheka
Hawza/ Sayyid Moqtada Sadr, kiongozi wa Harakati ya Kitaifa ya Kishia nchini Iraq, amesisitiza kwamba kitendo cha kuchomwa Qur’ani Tukufu kilichofanywa na mgombea ubunge wa Marekani ni uhalifu…
-
DuniaKing'ora cha Hatari ya Kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Nchini Kanada
Hawza/ Kwa mujibu wa utafiti wa moja kwa moja uliofanywa na Chuo Kikuu cha York, jinai na vitendo vinavyotokana na chuki dhidi ya Uislamu nchini Kanada katika kipindi cha miaka miwili iliyopita…
-
DuniaWaislamu wa Uholanzi wamemshtaki mwanasiasa mwenye chuki kali dhidi ya Uislamu, kutokana na kueneza kufanya kampeni za chuki dhidi ya Uislamu
Hawza/ Mashirika kumi na nne ya Kiislamu yamefungua mashtaka dhidi ya Geert Wilders, mwanasiasa wa mrengo wa kulia uliokithiri nchini Uholanzi, na yamethibitisha kuwa yeye ni mtu mwenye ukatili…
-
DuniaMwanasiasa wa Kanada: Propaganda za Israel dhidi ya Hamas zimeimarisha chuki dhidi ya Uislamu nchini Kanada
Hawza/ Bi. Amira Alghawabi, mwakilishi maalumu wa Kanada kwa ajili ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu katika nchi hiyo, ameonya kwamba; kwa masikitiko propaganda za jinai za Israel dhidi…
-
DuniaWanaochukia Uislamu na wenye ubaguzi wa rangi wamezuia ujenzi wa msikiti nchini Uingereza
Hawza/ Michelle Strogham, mwakilishi wa Chama cha Labour nchini Uingereza, katika hotuba zake amesema kuwa hakupaswi kuwa na nafasi yoyote kwa ubaguzi wa rangi huko Cumbria, na maandamano yaliyoibuka…
-
DuniaUfuatiliaji wa malalamiko na uhalifu unaotokana na chuki dhidi ya Uislamu nchini Uingereza wakabidhiwa kwa taasisi mpya ya Kiislamu
Hawza/ Baada ya serikali ya Uingereza kukata bajeti ya taasisi ya "Tell MAMA" ambayo awali ilikuwa na jukumu la kushughulikia, kusajili na kufuatilia uhalifu unaohusiana na chuki dhidi ya Uislamu,…
-
DuniaSerikali ya Ufaransa Yaendelea Kuchochea Moto wa Chuki Dhidi ya Uislamu
Hawzah/ Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ufaransa, katika kipindi cha miezi mitano ya kwanza ya mwaka 2025, kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la matukio ya chuki dhidi…
-
DuniaWaislamu wa Uingereza hawajihisi kuwa na amani!
Hawzah/ Kwa Waislamu wengi, wakiwemo Waislamu wa Uingereza, tukio la kulipuliwa mabomu tarehe 7 Julai mwaka 2005 linawakumbusha kumbukumbu za majonzi makubwa, na hadi leo linazidi kuwachochea…
-
DuniaChuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), kwa Mtindo wa Ufaransa; Muislamu auwawa ndani ya Msikiti nchini Ufaransa
Siku ya Ijumaa, mtu mmoja ambaye unafahamika, aliingia ndani ya msikiti katika kijiji cha Land Kamp kilichoko kusini mwa Ufaransa, huku akiwa na kisu na akamuua mwislamu aliyekuwa akiswali.