Mafunzo katika Qurani (10)
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DuniaNjia Isiyo na Kifani ya Mwenyezi Mungu kwa Ajili ya Kumlea Mwanadamu
Hawza/ Mwenyezi Mungu katika aya ya 90 ya Surah An-Nahl, badala ya kutumia amri na katazo kali, anatumia lugha ya mafundisho: «يَعِظُكُمْ لَعَلَّكُمْ تَذَكَّــرُونَ». Huu ni mtindo wa kipekee…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DiniIli Waislamu Wawe Bora, Qur'an Imetoa Sharti Hili
Hawza/ Ufunguo wa heshima na ushindi kwa Waislamu upo katika imani thabiti, kusimama imara katika njia ya haki, na kushikamana na maadili ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu anasema katika Qur’ani…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DiniIli Kuokoka na Majuto ya Siku ya Kiyama Tufanye Nini?
Hawza/ Kila wakati unaopita bila kumkumbuka Mwenyezi Mungu, huacha majuto marefu; na kumbukumbu hii si kwa ulimi pekee, bali lazima ionekane na idhihirike pia katika vitendo.
-
Mafunzo Katika Qur'ani:
DiniKile Ninachoona Kwenye Kioo “Sio Mimi!”
Hawza/ Mwenyezi Mungu Mtukufu katika dunia hii amemkabidhi mwanadamu amana za kiroho ili azitumie katika kufikia malengo ya kimungu; la sivyo, amana hizi siku moja zitatoa ushahidi dhidi yake.
-
Mafunzo Katika Quran:
DiniJe! Ni Ipi Tija ya Maneno ya Puo Kwetu?
Hawza/ Muumini katika maisha yake hufuata malengo makubwa, na kwa sababu hiyo hujiepusha na chochote kinachoweza kumtoa katika njia ya wazi.
-
Mafunzo Katika Qur'ani:
DiniNjia ya Kukutana na Mtukufu Imam Mahdi (a.s)
Hawza/ Mwenyezi Mungu Mtukufu katika Hadithi ya Mi’raj anatufahamisha kipimo na kigezo ambacho kushikamana nacho kunaweza kuyaangazia macho yetu kuudiriki uzuri wa nuru ya Mtukufu Imam Mahdi…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DiniKwa nini uaminifu ni muhimu zaidi kuliko swala ndefu?
Hawza/ “Msitazame mtu kwa urefu wa swala zake, bali tazameni uaminifu wake.” Kauli hii ya Imam Sadiq (as) inaonesha kwamba uaminifu ndicho kipimo cha msingi cha kumtambua mtu.
-
Mafunzo katika Qur'ani:
DiniKwa nini tunapaswa kumkimbilia Mwenyezi Mungu? / Qur’ani inajibu Swali la Aflaton
Hawza/ Aflaton, anaufananisha ulimwengu na upinde wa mshale, ambapo Mungu ndiye mpiga mshale na binadamu ndiye shabaha. Lakini tofauti na uwindaji mwingine wote, njia pekee ya kuokoka katika…
-
Mafunzo katika Qur'ani:
DiniKwa Amali hii mshindeni shetani
Hawza/ Qur’ani Tukufu kwa kusisitiza juu ya maneno mazuri, inatufundisha kwamba kauli nzuri si tu kwamba inapanda mbegu za mapenzi katika nyoyo, bali pia inazuia unafiki na uadui, kinyume chake…
-
Mafunzo katika Qur'ani:
DiniKurejesha Ubaya kwa Wema
Hawza/ Kuishi vizuri na watu si fadhila za kimaadili tu, bali ni njia ya uongofu na kumbadilisha adui kuwa urafiki, kisa cha mtu kutoka Shamu na muamala wa upole wa Imam Hasan (a.s) ni mfano…