Papa Leon wa kumi na nne (11)
-
DuniaPapa Ashiriki Katika Kikao Kilicho Husisha Dini Tofauti Katika Mji wa Beirut
Hawza/ Kikao kati ya Waislamu na Wakristo kilifanyika katika Uwanja wa Mashahid wa Beirut, na Papa Leo pia alishiriki katika mkutano huo. Baada ya kuwasili kwake, alikaribishwa na wanazuoni wa…
-
DuniaKipi Kilijiri Katika Mazungumzo Kati ya Sheikh Al-Khatib na Papa Laon?
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Waislamu wa Kishia wa Lebanon alisema katika mazungumzo yake na Papa: Utamaduni wetu wa kiroho umejengwa juu ya undugu wa kibinadamu; nasi…
-
DuniaUtawala wa Kizayuni Waendeleza Mashambulizi Huko Dhahiya ya Kusini sambamba na safari ya Papa Lebanon
Hawza/ Utawala wa Kizayuni uliendelea na mashambulizi yake dhidi ya maeneo ya kusini mwa Lebanon; mashambulizi haya yalifanyika sambamba na safari ya Papa Leon wa Kumi na Nne kuelekea Lebanon.
-
DuniaZiara ya Kwanza ya Papa Leo Katika Msikiti Maarufu wa Istanbul
Hawza/ Papa Leo pamoja na ujumbe wake wametembelea kwa mara ya kwanza Msikiti maarufu nchini Uturuki unaojulikana kwa jina la Msikiti wa Bluu.
-
DuniaPapa Leo: Waandishi wa Habari wa Ghaza Wako Mstari wa Mbele wa Kuusambaza Ukweli
Hawza/ Papa Leo, katika hotuba yake ya Alhamisi, aliwaheshimu waandishi wa habari mashahidi Ghaza na kusema kwamba; wao wako mstari wa mbele katika kufikisha sauti ya ukweli kutoka maeneo ya…
-
DuniaHali Mbaya Sana ya Ghaza Yamshtua Papa
Hawza/ Papa, katika hotuba yake, alieleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu hali ya Ghaza na kusema kuwa; daima anaomba hili suala la Ghaza liishe kwa heri
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani:
HawzaMheshimiwa Papa; Je, ikiwa Nabii Isa (as) angelikuwepo, angeweza kustahimili hali ya kutisha ya Ghaza na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni?
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Nouri Hamedani katika barua yake kwa Papa amesema: Katika hali hii ya kutisha ya Ghaza, je, ikiwa Manabii wa Mwenyezi Mungu kama Nabii Isa (as) na Nabii Muhammad (saw)…
-
DuniaPapa ataka kukomeshwa unyama unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza
Hawza/ Papa Leo wa kumi na nne, huku akielezea masikitiko yake juu ya shambulio la anga lililofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya kanisa la Kikatoliki katika Ukanda wa Ghaza, ametoa wito wa…
-
DuniaPapa Leo wa Kumi na Nne Atoa Wito wa Kusitishwa Mapigano Mara Moja huko Ghaza
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne, katika hotuba yake ya hivi karibuni, kwa mara nyingine ametoa wito wa kusitishwa mapigano mara moja huko Ghaza na kuachiliwa huru kwa wafungwa wote.
-
DuniaKiongozi Mpya wa Kanisa Katoliki Aapishwa
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne, siku ya Jumapili baada ya kuongoza ibada yake ya kwanza takatifu, alitawazwa rasmi kuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki.
-
HawzaAyatollah Arafi atuma ujumbe wa pongezi kwa Papa mpya / Asisitiza ushirikiano wa kielimu na kitamaduni kati ya hawza ya Iran na Vatikani
Hawza/ Mkurugenzi (Mudir) wa hawza nchini Iran ametuma ujumbe wa pongezi kwa kuchaguliwa Papa Leon wa kumi na nne kuwa kiongozi wa Katoliki duniani.