Jumatano 17 Desemba 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Je! Ni Vipi Tutasalia Katika Njia ya Kuridhiwa na Mwenyezi  Mungu

    Mafunzo Katika Sahifat Sajjadia:

    DiniJe! Ni Vipi Tutasalia Katika Njia ya Kuridhiwa na Mwenyezi  Mungu

    Hawza/ Imam Zaynu al-Abidin (a.s) ndani ya Sahifa Sajadiya katika dua yenye maana ya kina, anamuomba Mungu ampe uwezo wa kuchagua njia inayomridhisha Mwenyezi Mungu, anapokutana na mitihani ya…

    2025-12-14 21:47
  • Ili Waislamu Wawe Bora, Qur'an Imetoa Sharti Hili

    Mafunzo Katika Qur'an:

    DiniIli Waislamu Wawe Bora, Qur'an Imetoa Sharti Hili

    Hawza/ Ufunguo wa heshima na ushindi kwa Waislamu upo katika imani thabiti, kusimama imara katika njia ya haki, na kushikamana na maadili ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu anasema katika Qur’ani…

    2025-12-13 23:30
  • Vijana na Mabinti Wawe ni Wenye Shukrani Kutokana na Jitihada Walizo Zifanya Wazazi Wao Kwao

    Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amoli:

    DiniVijana na Mabinti Wawe ni Wenye Shukrani Kutokana na Jitihada Walizo Zifanya Wazazi Wao Kwao

    Hawza/ Hadhrat Ayatollah Jawadi Amoli aliwashauri wasichana na wavulana kuwa wenye shukrani kwa juhudi zilizofanywa na baba na mama kuwaelekea wao.

    2025-12-12 20:00
  • Kioo cha Unabii: Wakati Binti wa Mtume Alipokuwa Katika Daraja la Unabii

    DiniKioo cha Unabii: Wakati Binti wa Mtume Alipokuwa Katika Daraja la Unabii

    Hawza/ Bibi Fatima Zahra (amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake) aliishi siku sabini na tano baada ya Mtume, na katika kipindi hiki Jibril Amin alikuwa akiteremka mara kwa mara juu yake na kueleza…

    2025-12-10 23:11
  • Rafiki Mwenye Hekima kwa Mtazamo wa Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli

    DiniRafiki Mwenye Hekima kwa Mtazamo wa Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli

    Hawza/ Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli amesema: uhusiano wa kindugu kwa kiwango cha jumla si jambo baya, na ni vyema kila Mwislamu awe na uhusiano mwema na Mwislamu mwenzake; lakini inapofikia…

    2025-12-08 17:45
  • Mapinduzi kabla ya kudhihiri Imam Mahdi (a.s.)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (58)

    DiniMapinduzi kabla ya kudhihiri Imam Mahdi (a.s.)

    Hawza/ Baadhi ya watu, wakitegemea baadhi ya riwaya, wamefikia hatua ya kudhania kwamba aina yoyote ya harakati dhidi ya watawala madhalimu kabla ya kudhihiri kwa Imam wa Zama (a.s.) ni haramu;…

    2025-12-08 11:09
  • Jinsi ya Kujiepusha na Majivuno Wakati wa Mafanikio Makubwa

    Mafunzo Katika Sahifat Sajjadia:

    DiniJinsi ya Kujiepusha na Majivuno Wakati wa Mafanikio Makubwa

    Hawza/ Wakati wa kufikia daraja za kidunia au kiakhera, hatari ya majivuno hutukabili; Imam Zaynul Abidin (a.s.) anatupa mwongozo wa kujilinda na hatari hii.

    2025-12-05 15:30
  • Je! Ni kwa Sababu Ipi Wino wa Wanazuoni Unepewa Uzito Mkubwa Kuliko Damu ya Mashahidi?

    Mafunzo Katika Nahjul Balagha:

    DiniJe! Ni kwa Sababu Ipi Wino wa Wanazuoni Unepewa Uzito Mkubwa Kuliko Damu ya Mashahidi?

    Hawza/ Amirul-Mu’minin Ali (a.s.) anaiona elimu kuwa ni urithi wenye thamani kubwa mno; na kwa hakika, urithi huu hauwezi kulinganishwa na jambo jingine lolote katika Uislamu.

    2025-12-04 13:45
  • Je, Hazrat Ummul-Banin (s.a.) alifariki kiasili au aliuawa shahidi?

    DiniJe, Hazrat Ummul-Banin (s.a.) alifariki kiasili au aliuawa shahidi?

    Hawza/ Pamoja na kwamba vyanzo vya kale vimekaa kimya kuhusiana na namna ya kufariki kwa Hazrat Ummul-Banin (s.a.), ripoti za baadaye zimewawekea watafiti simulizi mbili tofauti: kundi moja linaamini…

    2025-12-04 12:45
  • Kumswalia Mtume na Athari Zake Katika Kutimizwa Haja kwa Mtazamo wa Ayatullah Udhma Jawadi Amoli

    DiniKumswalia Mtume na Athari Zake Katika Kutimizwa Haja kwa Mtazamo wa Ayatullah Udhma Jawadi Amoli

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli amesema: kumswalia Mtume na thawabu zake ni miongoni mwa kheri na malipo bora na ya juu kabisa.

    2025-12-03 12:14
  • Ili Kuokoka na Majuto ya Siku ya Kiyama Tufanye Nini?

    Mafunzo Katika Qur'an:

    DiniIli Kuokoka na Majuto ya Siku ya Kiyama Tufanye Nini?

    Hawza/ Kila wakati unaopita bila kumkumbuka Mwenyezi Mungu, huacha majuto marefu; na kumbukumbu hii si kwa ulimi pekee, bali lazima ionekane na idhihirike pia katika vitendo.

    2025-12-02 14:50
  • Haya Ndiyo Matendo Yanayo Mpendeza Mwenyezi Mungu

    DiniHaya Ndiyo Matendo Yanayo Mpendeza Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Mwenyezi Mungu kama vile ambavyo amemuumba mwanadamu, kuna matendo ambayo anapenda kuyaona yakifanywa na mja wake na yale ambayo huchukia kuyaona yakifanywa na mja wake huyo.

    2025-11-29 23:51
  • Daima Jione Kuwa ni Mwenye Mapungufu

    Mafunzo Katika Sahifa Sajjadia:

    DiniDaima Jione Kuwa ni Mwenye Mapungufu

    Hawza/ Kuona matendo mema kuwa makubwa na kuyafanya makosa na madhambi yaonekane kuwa ni madogo, kunaweza kuwa kikwazo katika njia ya ucha-Mungu wa mwanadamu; kwa hiyo, usia wa Maa’sumina (amani…

    2025-11-28 07:39
  • Tawkī‘āt za Imam Mahdi (a.s.)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (57)

    DiniTawkī‘āt za Imam Mahdi (a.s.)

    Hawza/ Miongoni mwa njia zinazobainisha mas-ala na kuondoa shubha ni kutumia mwongozo na kunufaika na tawkī‘āt na maandiko ya mkono ambayo Imam Mahdi (a.s.) alikuwa akiyaandika kwa watu waliokuwa…

    2025-11-26 21:44
  • Utukufu wa ibada ya Bibi Zahraa (a.s) Kulingana na Mtazamo wa Ayatullah A-Udhma Javadi Amoli

    DiniUtukufu wa ibada ya Bibi Zahraa (a.s) Kulingana na Mtazamo wa Ayatullah A-Udhma Javadi Amoli

    Hawza/ Ayatullah Javadi Amoli amebainisha kuwa: Bibi Zahraa (a.s) alipokuwa akisimama kuswali alikuwa akijikita kiasi kikubwa kwenye utukufu wa Mwenyezi Mungu na kupotea kabisa katika jalali…

    2025-11-25 20:38
  • Je, kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya ni makruh?

    Hukumu za Kisheria:

    DiniJe, kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya ni makruh?

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya, (Siku ambazo watu wanaadhimisha kumbukizi ya kuuwawa kishahidi Bibi…

    2025-11-23 23:20
  • Jawabu kwa Shubha ya Kihistoria: Je, ni Kweli Nyumba ya Bibi Zahraa (a.s) Ilichomwa Moto?

    DiniJawabu kwa Shubha ya Kihistoria: Je, ni Kweli Nyumba ya Bibi Zahraa (a.s) Ilichomwa Moto?

    Hawza/ Katika kipindi kilichoandaliwa huku akihudhuria Hujjatul-Islam Muhammadi Shahroudi, palisisitizwa juu ya kupata maarifa ya Fatimiyyah kama ufunguo wa kufumbua fumbo la historia, na kuchambua…

    2025-11-23 23:10
  • Mzizi wa Wilaya na Unabii Unaoatikana katika Uwepo Mtukufu wa Bibi Fatima Zahraa (a.s.)

    DiniMzizi wa Wilaya na Unabii Unaoatikana katika Uwepo Mtukufu wa Bibi Fatima Zahraa (a.s.)

    Hawza/ Mzizi wa “Wilaya" wa na “Unabii” umo katika uwepo wa Bibi Fatima Zahraa (s.a). Mtume Mtukufu (s.a.w.w.) amesema: «فاطمه اُمّ أبیها» “Fatima ni mama wa baba yake”; yaani mama wa baba yake…

    2025-11-20 23:41
  • Hivi Ndivyo Utakavyokuwa Mpenzi wa Mungu

    Mafunzo Katika Nahjul - Balagha:

    DiniHivi Ndivyo Utakavyokuwa Mpenzi wa Mungu

    Hawza/ Kuwatumikia waja wa Mungu ni miongoni mwa matendo yenye kupendwa sana na Mwenyezi Mungu, na yametajwa pia kuwa ni kafara ya madhambi.

    2025-11-20 23:13
  • Kuhuisha Masiku ya F'atwimiyya ni Utumishi Ulio Mkubwa Zaidi

    Ayatullah al-Udhma Wahid Khorasani:

    DiniKuhuisha Masiku ya F'atwimiyya ni Utumishi Ulio Mkubwa Zaidi

    Hawza/ Ayatullah Wahid Khorasani walisema: “Utumishi ulio mkubwa zaidi siku hizi ni kuhuisha masiku ya bibi Fatimah. Jambo la Bibi Zahra (amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake) lina upekee kwa…

    2025-11-18 17:40
  • Njia za Kumtambua Imam (a.s.)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiya (56)

    DiniNjia za Kumtambua Imam (a.s.)

    Hawza/ Bila shaka mojawapo ya majukumu muhimu ya waja mbele ya Mola wao ni kumjua huyo Mwenye Hadhi Tukufu. Maarifa haya hufikia ukamilifu wakati Mitume wa Mungu – hasa hasa Mtume wa Mwisho (s.a.w.w)…

    2025-11-18 16:52
  • Mambo ya pamoja kati ya Ahlul-Sunna na Shia kuhusiana na suala la Mahdawiya

    Kuielekea jamii Bora: Tafiti za Mahdawiya (55)

    DiniMambo ya pamoja kati ya Ahlul-Sunna na Shia kuhusiana na suala la Mahdawiya

    Hawza/ Ahlul-Sunna wametaja mara nyingi katika riwaya zao ukweli wa "fikra ya Mahdawiya". Ingawa katika baadhi ya maeneo inatofautiana na imani ya Kishia, bado kuna mambo mengi ya pamoja.

    2025-11-15 21:13
  • Kile Ninachoona Kwenye Kioo “Sio Mimi!”

    Mafunzo Katika Qur'ani:

    DiniKile Ninachoona Kwenye Kioo “Sio Mimi!”

    Hawza/ Mwenyezi Mungu Mtukufu katika dunia hii amemkabidhi mwanadamu amana za kiroho ili azitumie katika kufikia malengo ya kimungu; la sivyo, amana hizi siku moja zitatoa ushahidi dhidi yake.

    2025-11-13 10:23
  • Kwa nini Twala na Zubayr hawakufichua mahali alipozikwa Bibi Fāṭimah (a.s.)?

    DiniKwa nini Twala na Zubayr hawakufichua mahali alipozikwa Bibi Fāṭimah (a.s.)?

    Kwa mujibu wa vyanzo vya kihistoria na riwaya, kufichwa kwa kaburi la Bibi Fātimah Az-Zahrā (a.s.) lilikuwa ni kwa ombi lake binafsi, ili watawala wa wakati huo wasihusike katika mazishi yake.…

    2025-11-08 20:56
  • Ni vipi Toba Inavyoweza Kuufanya Vizuri Zaidi Uhusiano wa Mja na Mola Wake?

    Maisha Katika Sahifat Sajjadia:

    DiniNi vipi Toba Inavyoweza Kuufanya Vizuri Zaidi Uhusiano wa Mja na Mola Wake?

    Hawza/ Toba ya mwanadamu imo kati ya toba mbili za Mwenyezi Mungu. Kwanza, Mwenyezi Mungu Mtukufu humpa mja wake tawfiki (uwezo wa kutambua udhaifu wake, kunyenyekea na kutaka kurejea Kwake),…

    2025-11-08 20:51
  • Ulimi; Chombo Kwa Ajili ya Ukombozi au Maangamizi!!

    Mafunzo katika Nahjul - Balagha:

    DiniUlimi; Chombo Kwa Ajili ya Ukombozi au Maangamizi!!

    Hawza/ Ulimi ni kiungo kidogo lakini chenye umuhimu mkubwa mno; kwani unapotoka kutoka katika udhibiti wa akili, hauishii tu kumdhalilisha mtu kimaadili, bali pia huufanya moyo wake kuwa mgumu…

    2025-11-07 11:16
  • Je, damu inayobakia kwa mnyama baada ya kuchinjwa ni najisi?

    Hukmu za Kisheria:

    DiniJe, damu inayobakia kwa mnyama baada ya kuchinjwa ni najisi?

    Hawza/ Ayatullah Ali Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na hukmu ya damu inayobakia kwa mnyama baada ya kuchinjwa.

    2025-11-07 10:38
  • Hijabu ya Mwanamke ni Haki ya Mwenyezi Mungu, Haina Mafungamano na Mtu Binafsi, Mwanaume Wala Familia

    DiniHijabu ya Mwanamke ni Haki ya Mwenyezi Mungu, Haina Mafungamano na Mtu Binafsi, Mwanaume Wala Familia

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Javadi Amuli amesema: “Mwanamke anatakiwa kuelewa kikamilifu kwamba hijabu yake si jambo linalomhusu yeye peke yake hadi aseme, ‘nimeachana na haki yangu’; hijabu ya…

    2025-11-06 00:17
  • Je! Ni Ipi Tija ya Maneno ya Puo Kwetu?

    Mafunzo Katika Quran:

    DiniJe! Ni Ipi Tija ya Maneno ya Puo Kwetu?

    Hawza/ Muumini katika maisha yake hufuata malengo makubwa, na kwa sababu hiyo hujiepusha na chochote kinachoweza kumtoa katika njia ya wazi.

    2025-11-06 00:12
  • Imamu Mahdi katika Vyanzo vya Ahlus-Sunna

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyat (54)

    DiniImamu Mahdi katika Vyanzo vya Ahlus-Sunna

    Hawzah/ Kwa kupitia kwa muhtasari vitabu vya riwaya vya Ahlus-Sunna, inadhihirika wazi kuwa suala la Imamu Mahdi (a.s.) limetajwa kwa wingi katika vyanzo vyao. Mbali na hadithi nyingi zilizomo…

    2025-11-04 23:22
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom