Hawza/ Ayatullah Subhani amesisitiza kuwa: mambo yanayowakumba Waislamu leo hayajawahi kushuhudiwa kwa kiwango kikubwa kama hiki katika historia, na kutokana na dunia kutojali kuhusu maafa haya…
Hawza/ Ghaith Auwad Muhammad Al-‘Adli, Mkuu wa Kitengo cha Masuala ya Dini katika Msikiti Mtukufu wa Kufa, amewaalika waumini wote kushiriki katika ibada ya itikafu katika kituo hicho cha kiroho,…