Hawza/ Kufuatia kuitwa kwa mchezo wa timu ya taifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri kwa jina la “Mechi ya Fahari” (Pride Match) na FIFA pamoja na Kamati ya Maandalizi…
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza kwamba sayansi ya kibinadamu ya Kiislamu ndio msingi na roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi, alisema: Kila kinachopuuzwa kuhusu…
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza Qum, huku akisisitiza kwamba chanzo kikuu cha uadui wa Marekani, utawala wa Kizayuni na Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, ni hofu ya…
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Abulqasim Razavi, katika tamko alilotoa kufuatia shambulio la kutumia silaha dhidi ya hafla ya kidini ya Wayahudi huko Sydney, pamoja na kulaani vikali…
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon amesema: Mwanadamu ndiye kitu kitakatifu zaidi miongoni mwa vitakatifu vya Mwenyezi Mungu, na hakuna utakatifu wowote kwa maslahi ya mwanadamu isipokuwa…
Hawza/nJumamosi, 13 Desemba 2025, baadhi ya wawakilishi wa jamii za kikabila kutoka Jamhuri ya Niger walifanya ziara ya kumtembelea kiongozi wa Harakati ya Kiislamu, Sheikh Ibraheem Zakzaky,…
Hawza/ Imam Zaynu al-Abidin (a.s) ndani ya Sahifa Sajadiya katika dua yenye maana ya kina, anamuomba Mungu ampe uwezo wa kuchagua njia inayomridhisha Mwenyezi Mungu, anapokutana na mitihani ya…
Hawza/ Hujjat al-Islam wa al-Muslimin Barqi ameashiria kuwa hafla ya kumbukumbu ya Ayatollah al-‘udhma Golpaygani (rahimahullah) itafanyika siku ya Jumanne, 16 December 2025, baada ya Swala ya…
Hawza/ Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya kuzaliwa mwenye heri na baraka Bibi Fatima Zahra, amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake, pamoja na maadhimisho ya pili ya kufariki Ayatollah Sheikh…
Hawza/ Ufunguo wa heshima na ushindi kwa Waislamu upo katika imani thabiti, kusimama imara katika njia ya haki, na kushikamana na maadili ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu anasema katika Qur’ani…
Hawza/ harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imeadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Sayyida Fatima al-Zahra (as), ambae ni binti wa Mtume (saww), na mke wa Imam Ali (as), vile vile pia ni mama wa…
Hawza / Kundi la watafiti na mashaykh wa madhehebu ya Tijaniyya kutoka nchi ya Senegal walikutana na Kiongozi wa Tariqa ya Tijaniyya katika eneo la Al-Tamasin, lililopo nchini Algeria.
Hawza/ Ayatollah Sayyid Yasin Mousawi, Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, huku akisisitiza nafasi ya kipekee na isiyopingika ya Hashdu Shaabi katika kuiokoa Iraq dhidi ya mifarakano na kusambaratika…
Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa Qum amesema: Katika muundo wa Kiislamu, maslahi jumuishi ya mwanamke, mwanaume, watoto na jamii huzingatiwa katika kuweka kanuni. Tukikusanya mizani ya maslahi…