Mafunzo katika Sahifat Sajjadiya (11)
-
Mafunzo Katika Sahifat Sajjadia:
DiniJe! Ni Vipi Tutasalia Katika Njia ya Kuridhiwa na Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam Zaynu al-Abidin (a.s) ndani ya Sahifa Sajadiya katika dua yenye maana ya kina, anamuomba Mungu ampe uwezo wa kuchagua njia inayomridhisha Mwenyezi Mungu, anapokutana na mitihani ya…
-
Mafunzo Katika Sahifat Sajjadia:
DiniJinsi ya Kujiepusha na Majivuno Wakati wa Mafanikio Makubwa
Hawza/ Wakati wa kufikia daraja za kidunia au kiakhera, hatari ya majivuno hutukabili; Imam Zaynul Abidin (a.s.) anatupa mwongozo wa kujilinda na hatari hii.
-
Mafunzo Katika Sahifa Sajjadia:
DiniDaima Jione Kuwa ni Mwenye Mapungufu
Hawza/ Kuona matendo mema kuwa makubwa na kuyafanya makosa na madhambi yaonekane kuwa ni madogo, kunaweza kuwa kikwazo katika njia ya ucha-Mungu wa mwanadamu; kwa hiyo, usia wa Maa’sumina (amani…
-
Maisha Katika Sahifat Sajjadia:
DiniNi vipi Toba Inavyoweza Kuufanya Vizuri Zaidi Uhusiano wa Mja na Mola Wake?
Hawza/ Toba ya mwanadamu imo kati ya toba mbili za Mwenyezi Mungu. Kwanza, Mwenyezi Mungu Mtukufu humpa mja wake tawfiki (uwezo wa kutambua udhaifu wake, kunyenyekea na kutaka kurejea Kwake),…
-
Mafunzo Katika Sahifat Sajjadiya:
DiniDaima ujihesabu kuwa ni mwenye kukosea
Hawza/ Kuyakuza matendo yako mema na kudharau dhambi au makosa yako, kunaweza kuwa kizuizi kikubwa katika njia ya uchamungu wa kweli. Ndiyo maana mafundisho ya Maimamu watoharifu (as) katika…
-
Mafunzo Katika Sahifat Sajjadiyah:
DiniNi Vipi Tutafahamu Kwamba Mungu Pekee Anatosha?
Hawza/ Wakati miangaiko ya kidunia inapomtoa mwanadamu katika njia ya uja na utumishi wa Mwenyezi Mungu, Imam Sajjad (a.s) anatupa ufunguo wa dhahabu wa ukombozi: kuomba kutoshelezwa na Mwenyezi…
-
Mafunzo katika Sahifat Sajjadia:
DuniaDua inayowakuribisha vijana na wanafunzi kwenye kumuabudu Mwenyezi Mungu
Hawza/ Mwanadamu katika maisha yake anakutana na njia pamoja na chaguo tofauti, lakini ni ipi kati ya hizo inayoweza kumsaidia zaidi katika safari ya kuwa mja halisi wa Mwenyezi Mungu?
-
Mafunzo katika Sahiifat Sajjaadiya:
DiniDua inayowakaribisha vijana na barobaro kwenye kumuabudu Mwenyezi Mungu
Hawza / Mwanadamu katika maisha yake anakabiliana na njia na chaguo mbalimbali, lakini swali muhimu ni hili: ni ipi kati ya hizo inayoweza kumsaidia zaidi na vizuri zaidi katika njia ya uja na…
-
Mafunzo katika Sahifat Sajjadia:
DiniKwa nini nia ni muhimu zaidi kuliko amali?
Hawza/ Ikiwa unataka kujua kwa nini nia safi ndiyo rasilimali kubwa ya mwanadamu katika Siku ya Kiyama, basi soma riwaya ya kusisimua kutoka kwa Imam Sajjad (a.s.).
-
Mafunzo katika Sahifat Sajjadia:
DiniMpango wa Siri wa Shetani
Hawzah/ Je, ni kwa jinsi gani muumini mwenye kusali anaweza taratibu kubadilika na kuwa mtu mwenye kughafilika? Mpango wa siri wa Iblisi huanza kwa kushambulia swala ya usiku na kuishia katika…
-
Mafunzo katika Sahifat Sajjadiya:
DiniJe! Ni vipi tunaweza kuufanya uwepo wetu wote kuwa waqfu kwa Mwenyezi Mungu?
Hawza/ Je, mtu anawezaje kuzielekeza chembe zote za uwepo wake kwa Mola? Imamu Sajjad (as) katika dua fupi lakini yenye maana ya ndani, anachora ramani ya njia ya kuifikia ikhlās; njia inayoanzia…