shirika la habari la hawza (1237)
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DuniaNjia Isiyo na Kifani ya Mwenyezi Mungu kwa Ajili ya Kumlea Mwanadamu
Hawza/ Mwenyezi Mungu katika aya ya 90 ya Surah An-Nahl, badala ya kutumia amri na katazo kali, anatumia lugha ya mafundisho: «يَعِظُكُمْ لَعَلَّكُمْ تَذَكَّــرُونَ». Huu ni mtindo wa kipekee…
-
Mwanzuoni Mashuhuri kwa Kishia Nchini Pakistan:
DuniaMwanazuoni wa Dini Lazima Daima Awe Kwenye Njia ya Kutafuta Elimu na Kuhifadhi Kazi za Kielimu
Hawza/ Ayatollah Hafiz Sayyid Riyaadh Hussain Najafi katika hotuba yake alisisitiza umuhimu wa kutafuta elimu mara kwa mara, kuhifadhi kazi za kisayansi za wataalimu, na kufundisha Qur'an na…
-
DuniaRadi Amali ya Kamati ya Uongozi wa Michezo ya Hawza Nchini Iran, Kuhusu “Mechi ya Kifahari ya Mashoga”
Hawza/ Kufuatia kuitwa kwa mchezo wa timu ya taifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri kwa jina la “Mechi ya Fahari” (Pride Match) na FIFA pamoja na Kamati ya Maandalizi…
-
Ayatollah A‘arafi Katika Hotuba Yake Kwenye Chuo Kikuu cha Qum Iran:
HawzaSayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu Ndio Msingi na Roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi ya Iran/ Nashangaa Baadhi Wanasema Hakuna Sayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza kwamba sayansi ya kibinadamu ya Kiislamu ndio msingi na roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi, alisema: Kila kinachopuuzwa kuhusu…
-
Hukumu za Kisheria:
DuniaKuweka Picha na Video Binafsi Kwenye Wasifu (Profile)
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi amejibu swali la kisheria (istiftaa) kuhusiana na suala la “kuweka picha na video binafsi kwenye wasifu (profile)”.
-
Ayatollah Kaabi:
DuniaChanzo cha Uadui wa Marekani ni Hofu ya “Kusimamishwa Uislamu Halisi” / Ghaza; maonyesho ya aibu ya Ustaarabu wa Magharibi
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza Qum, huku akisisitiza kwamba chanzo kikuu cha uadui wa Marekani, utawala wa Kizayuni na Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, ni hofu ya…
-
DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Melbourne, Australia, Alaani Shambulio Dhidi ya Hafla ya Kidini ya Wayahudi
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Abulqasim Razavi, katika tamko alilotoa kufuatia shambulio la kutumia silaha dhidi ya hafla ya kidini ya Wayahudi huko Sydney, pamoja na kulaani vikali…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaHistoria Imethibitisha Kwamba Sisi ni Watu Wakubwa Kuliko Migawanyiko
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon amesema: Mwanadamu ndiye kitu kitakatifu zaidi miongoni mwa vitakatifu vya Mwenyezi Mungu, na hakuna utakatifu wowote kwa maslahi ya mwanadamu isipokuwa…
-
DuniaZiara ya Kihistoria: Wawakilishi wa Makabila Mbali Mbali Niger, Wakutana na Sheikh Ibraheem Zakzaky + Picha
Hawza/nJumamosi, 13 Desemba 2025, baadhi ya wawakilishi wa jamii za kikabila kutoka Jamhuri ya Niger walifanya ziara ya kumtembelea kiongozi wa Harakati ya Kiislamu, Sheikh Ibraheem Zakzaky,…
-
Mafunzo Katika Sahifat Sajjadia:
DiniJe! Ni Vipi Tutasalia Katika Njia ya Kuridhiwa na Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam Zaynu al-Abidin (a.s) ndani ya Sahifa Sajadiya katika dua yenye maana ya kina, anamuomba Mungu ampe uwezo wa kuchagua njia inayomridhisha Mwenyezi Mungu, anapokutana na mitihani ya…
-
HawzaAyatollah Udhma Golpaygani (ra), Ni Shakhsia Kubwa katika Historia ya Hawza/ Hafla ya Kumbukizi Yake ni Siku ya Jumanne
Hawza/ Hujjat al-Islam wa al-Muslimin Barqi ameashiria kuwa hafla ya kumbukumbu ya Ayatollah al-‘udhma Golpaygani (rahimahullah) itafanyika siku ya Jumanne, 16 December 2025, baada ya Swala ya…
-
Kongamano la 11 la Kimataifa la Al-Kawthar, Lafanyika Huko Najaf:
DuniaUfafanuzi wa Mwenendo Mtukufu na Wenye Nuru wa Bibi Fatima Zahra (a.s.)
Hawza/ Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya kuzaliwa mwenye heri na baraka Bibi Fatima Zahra, amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake, pamoja na maadhimisho ya pili ya kufariki Ayatollah Sheikh…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DiniIli Waislamu Wawe Bora, Qur'an Imetoa Sharti Hili
Hawza/ Ufunguo wa heshima na ushindi kwa Waislamu upo katika imani thabiti, kusimama imara katika njia ya haki, na kushikamana na maadili ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu anasema katika Qur’ani…
-
DuniaHarakati ya Kiislamu Nchini Nigeria, Yaadhimisha Kumbukumbu ya Kuzaliwa Sayyida Fatima al-Zahra (as) + Picha
Hawza/ harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imeadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Sayyida Fatima al-Zahra (as), ambae ni binti wa Mtume (saww), na mke wa Imam Ali (as), vile vile pia ni mama wa…
-
DuniaKundi la Masheikh wa Senegal, Wakutana na Kiongozi wa Tijaniyya wa Eneo la Al-Tamasin, Algeria + Picha
Hawza / Kundi la watafiti na mashaykh wa madhehebu ya Tijaniyya kutoka nchi ya Senegal walikutana na Kiongozi wa Tariqa ya Tijaniyya katika eneo la Al-Tamasin, lililopo nchini Algeria.
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
DuniaHashdu Shaabi Imeiokoa Iraq Dhidi ya Mifarakano
Hawza/ Ayatollah Sayyid Yasin Mousawi, Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, huku akisisitiza nafasi ya kipekee na isiyopingika ya Hashdu Shaabi katika kuiokoa Iraq dhidi ya mifarakano na kusambaratika…
-
Ayatullah A‘rafi katika Khutuba ya Swala ya Ijumaa Qum Iran:
HawzaNahjul-Balagha ni Nakala ya Utawala wa Kiislamu / Tumfasiri Mwanamke kwa Kutumia Kigezo cha Bibi Fa'tima
Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa Qum amesema: Katika muundo wa Kiislamu, maslahi jumuishi ya mwanamke, mwanaume, watoto na jamii huzingatiwa katika kuweka kanuni. Tukikusanya mizani ya maslahi…
-
Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amoli:
DiniVijana na Mabinti Wawe ni Wenye Shukrani Kutokana na Jitihada Walizo Zifanya Wazazi Wao Kwao
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Jawadi Amoli aliwashauri wasichana na wavulana kuwa wenye shukrani kwa juhudi zilizofanywa na baba na mama kuwaelekea wao.
-
DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ahudhuria Hafla ya Ndoa ya Vijana 100 Jijini Tanga + Picha
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ameshiriki katika hafla maalumu ya ndoa za pamoja kwa vijana 100 iliyofanyika leo jijini Tanga.
-
Ayatullah Khatami Katika Kongamano la Kitaifa la Mbebabendera ya Tafsiri ya Qur'an:
HawzaLazima Kuzinduliwe Harakati ya Tafsiri ya Qur’ani
Hawza/ Mjumbe wa Baraza la Wataalamu wa Uongozi (Shura-ye Negahban), katika Mkutano wa Kitaifa wa "Mbebabendera ya Tafsiri", huku akisisitiza ulazima wa kuzinduliwa harakati ya tafsiri ya Qur’ani,…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani:
HawzaWafasiri wa Qur'an Wajiepushe Kukariri, Badala Yake Wajikite Kwenye Ubunifu
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani, katika Mkutano wa Kitaifa wa "Kuinua bendera ya Tafsiri ya Qur’ani Tukufu", aliwataka wafasiri wa Qur'an kuepuka kurudia yaliyokwisha kusemwa na kuelekea kwenye…
-
Ayatullah A‘rafi katika hafla ya kufunga Mkutano wa Kitaifa wa Vinara wa Harakati ya Kiislamu:
HawzaAyatullah Yazdi (r.a.) Alikuwa Mtu wa Zama Muhimu Katika Historia/ Mfano wa Hekima Katika Utendaji
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza katika hafla ya kufunga Mkutano wa Kitaifa wa “Vinara wa Harakati ya Kiislamu; Ayatullah Yazdi (r.a.)” alisisitiza: Mujaahid huyu wa kimapinduzi alikuwa kielelezo cha…
-
DuniaSheikh Al-Qattan Katika Kikao Chake na Jamil Hayek, Atilia Mkazo Kwenye Umoja wa Kitaifa na Kuliunga Mkono Suala la Palestina
Hawza/ Rais wa Jumuiya ya “Qawluna wa Al-Amal” nchini Lebanon, alipotembelea ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Amal mjini Beirut, alifanya kikao na Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo, Jamil…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran, Katika Mkutano na Waimbaji wa Mashairi ya Ahlul-Bayt (a.s.):
DuniaUlazima wa Kubadili Mpangilio wa Ufikishaji wa Kimtandao na Kimaarifa Mbele ya Juhudi Anazozifanya Adui Ili Kuvutia Nyoyo na Akili
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi alibainisha kuwa; kusimama imara dhidi ya vita vya ufikishaji wa kimtandao vinavyoongozwa na Magharibi ni jambo gumu lakini linawezekana kabisa. Alisema: Katika njia…
-
DuniaUshauri Muhimu wa Ayatollah Udhmaa Wahid Khorasani Kuwaelekea Vijana
Hawza/ Ayatollah Mkuu Wahid Khorasani amesisitiza kuwa: Ujana kwa mwanadamu ni kama msimu wa masika kwenye ulimwengu na katika mzunguko wa wakati. Katika msimu huu wa ujana, kila mbegu ya elimu…
-
Ayatullah Qaraati Katika Mkutano na Wanafunzi wa Dini:
DuniaTuiwasilishe Qur’ani kwa Namna Ambayo Watu wa Wawaida Waielewe na Wasomi Wavutiwe Nayo
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Mohsen Qiraati, katika mkutano na wanafunzi wa dini, alikosoa baadhi ya tafiti zisizo na manufaa ya moja kwa moja, akasisitiza umuhimu wa tabligh yenye ufanisi…
-
DiniKioo cha Unabii: Wakati Binti wa Mtume Alipokuwa Katika Daraja la Unabii
Hawza/ Bibi Fatima Zahra (amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake) aliishi siku sabini na tano baada ya Mtume, na katika kipindi hiki Jibril Amin alikuwa akiteremka mara kwa mara juu yake na kueleza…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Lebanon:
DuniaMsimamo wa Kichochezi wa Wanaodai Kuhifadhi Uhuru wa Mamlaka, kwa Hakika ni wa Khiyana na Unaendana na Adui wa Kizayuni
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon katika taarifa yake ulisema: Adui bado anaendelea na hujuma zake kwa kuvunja makubaliano ya kusitisha mapigano na Azimio namba 1701, na kwa…
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
DuniaJihadharini na Mtego Ulio Jikita Kwenye Mazungumzo
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon, katika taarifa yake baada ya kikao chake cha kila mwezi, ilitoa onyo kuwa, ni lazima kujihadhari na mtego wa kile kinachoitwa “mazungumzo”.
-
DuniaKukosa Usalama na Kutoridhika Ndani ya Mwaka Mmoja wa Utawala wa Jolani Sirya
Hawza/ Katika maadhimisho ya mwaka mmoja tangia kuanguka kwa Bashar al-Assad, iwapo Jolani na timu yake hawataweza kutatua matatizo mengi ya kiuchumi, kijamii na kisiasa ya Syria na kutoa mtazamo…